Home About Press Clubs Multimedia Contact Us Staff Mail

KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI 11 ZAJIUNGA NA BIMA YA AFYA

07-Aug-20

Kwa kuona umuhimu wa matibu kwa wanachama wa klabu za waandishi wa habari, UTPC ilifanya mazungumzo na mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) kwa lengo la kutengeneza kifurushi au mpango maalumu wa matibabu kwa waandishi wa habari ambao ni wanachama wa klabu za waandishi wa habari.

 

Katika mazungumzo hayo, UTPC na NHIF walikubaliana kwamba kila mwanachama atachangia Tsh. 100,000/= kwa mwaka akiwa peke yake bila mtegemezi, na kama atahitaji kuweka mtegemezi ambaye umri wake ni zaidi ya miaka 18 atachangiwa Tsh. 100,000/= na mtoto atachangiwa Tsh. 50,400/= kwa mwaka.

 

Baada ya mazungumzo hayo kukamilika, klabu zote zilijulishwa kuhusu fursa hiyo ya matibabu ambayo ilitengenezwa mahususi kwa ajili ya waandishi wa habari.

Klabu zilianza kuhamasisha wanachama wake na kukusanya michango kwa ajili ya kuwakatia bima ya afya.

 

Jumla ya klabu 11 zimekamilisha chakato wa kuwakatia bima ya afya wanachama wake kama inavyoonekana katika orodha hapa chini

 

Central Press Club

Geita Press Club

Kigoma Press Club

Mwanza Press Club

Mbeya Press Club

Rukwa Press Club

Shinyanga Press Club

Simiyu Press Club

Zanzibar Press Club

Katavi Press Club

Dar City Press Club

 

Kwa sasa hakuna klabu itakayoendelea na mchakato huu mpaka mwakani. Hivyo klabu ambazo hazijakamilisha mchakato huu, zitapewa nafasi ya kukamilisha shughuli hii mwaka 2021.



GOVERNMENT AND MEDIA STAKEHOLDERS UNITE TO BOLSTER MEDIA SECTOR IN TANZANIA
19-Mar-24
RELIGIOUS LEADERS JOIN FORCES FOR JOURNALISTS' SAFETY: REV. LAZARO SPEAKS OUT
14-Mar-24
UTPC CHAMPIONS CHANGE: LEADING THE CONVERSATION ON EARLY CHILDHOOD CARE AND DEVELOPMENT
14-Mar-24
LEADING ECD REPORTERS ENHANCE SKILLS IN ECD AND GENDER-SENSITIVE REPORTING
09-Mar-24
SAFE REPORTING: STRENGTHENING POLICE-JOURNALIST RELATIONS THROUGH DIALOGUES
09-Mar-24
PRESS CLUBS INNOVATION LEADS TO INDEPENDENCE OF JOURNALISTS
04-Mar-24
SAFETY AND SECURITY DIALOGUES LEAD TO DECLINE IN MEDIA VIOLATIONS IN TANZANIA
01-Mar-24
UTPC UNVEILS STRATEGIC PLAN 2023-2025, AN EYE ON PRESS CLUBS, JOURNALISM TOWARD TRANSFORMATION.
01-Mar-24
YOUTH TO PLAY A VITAL ROLE IN SHAPING THE NARRATIVE AROUND FREEDOM OF EXPRESSION AND ACCESS TO INFORMATION.
16-Jan-24
UTPC PRESIDENT URGED JOURNALISTS TO PRACTICE QUALITY JOURNALISM
16-Jan-24
CALL FOR CONSULTANCY
31-Jul-23
SIKU YA MAADHIMISHO YA REDIO DUNIANI 2022
15-Feb-22
WAMILIKI VYOMBO VYA HABARI WATAKIWA KUWALIPA WAANDISHI STAHIKI ZAO
14-Jan-22
UTPC YAPEWA TUZO
22-Oct-21
WAANDISHI WA HABARI WAPEWA MAFUNZO YA ULINZI NA USALAMA
22-Oct-21
SERIKALI YAANZA KUJENGA MAHUSIANO ENDELEVU NA WAANDISHI WA HABARI
22-Oct-21
MARA PRESS CLUB WAENDESHA MDAHALO
22-Oct-21
UTPC KUANDAA KANUNI ZA MAADILI YA UANDISHI WA HABARI
22-Oct-21
MWANZA PRESS CLUB YAENDESHA MDAHALO
22-Oct-21
WAFANYAKAZI WA UTPC WAJENGEWA UWEZO
22-Oct-21
MAHAKAMA KUU YA RUFAA MWANZA ITATOA MAAMUZI YA RUFAA YA SHERIA YA HUDUMA YA VYOMBO VYA HABARI (MSA) 2016 SIKU CHACHE ZIJAZO
19-Feb-21
NOTISI YA MKUTANO MKUU WA UTPC MWAKA 2020
08-Oct-20
UTPC YATOA FOMU ZA KUGOMBEA UJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI
08-Oct-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI 11 ZAJIUNGA NA BIMA YA AFYA
07-Aug-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI 17 ZAKAMILISHA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAO
07-Aug-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI ZAANZISHA BLOGU
07-Aug-20
TANZIA - TAARIFA ZA KIFO CHA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA UTPC NDUGU JACOB KAMBILI
30-Jul-20
UTPC YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UGONJWA WA COVID19 KWA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA.
02-Jun-20
MPC KUFAIDIKA NA VIFAA KINGA DHIDI CORONA TOKA EWURA
02-Jun-20
MPC YAPOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA(PPE) TOKA TAASISI YA THE DESK AND CHAIRS FOUNDATION
02-Jun-20
Maazimisho ya Siku ya Haki za Binadamu yafanyika Mwanza kwa kuwashirikisha wanahabari
11-Dec-19
Afisa Miradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (Sida) atembelea Klabu za Waandishi wa Habari
06-Dec-19
Wito watolewa kwa Waandishi wa Habari kujiendeleza kielimu.
06-Dec-19
Sida na UTPC wakutana kujadili Mpango Kazi na Bajeti wa mwaka 2020.
29-Nov-19
Rais wa UTPC afungua mafunzo kwa waandishi wa habari Dodoma
29-Nov-19
Bodi ya Wakurugenzi ya UTPC yapitisha Mpango Kazi na Bajeti kwa mwaka 2020
29-Nov-19
Mlezi wa MPC Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa John Mongella
11-Oct-19
UTPC Potrays the real picture of Unity - H.E Dr. Ali Mohamed Shein
10-Sep-19
JAMII FORUMS : Winners of Daudi Mwangosi Award 2019
06-Sep-19
UTPC in Zanzibar for the Annual Members General Meeting
05-Sep-19
UTPC ARM: Presentation of results
03-Jul-19
INVITATION FOR CONSULTANCY SERVICES FOR MID TERM REVIEW OF UTPC STRATEGIC PLAN 2016-2020
03-Jul-19
UTPC: Annual Review Meeting 2019
03-Jul-19
Crash Course: Press Clubs
03-Jul-19