Home About Press Clubs Multimedia Contact Us Staff Mail

KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI 17 ZAKAMILISHA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAO

07-Aug-20

Mkutano Mkuu wa UTPC uliofanyika tarehe 15 na 16 Septemba 2017 mkoani Tanga, ulifanya mabadiliko ya katiba yake kuhusu muda wa ukomo wa viongozi wa klabu kuwapo madarakani kutoka miaka mitatu hadi miaka mitano kama inavyoonekana katika katiba ya UTPC kipengele namba 15 (C).

 

Kwa mujibu wa azimio namba 8.3 la Mkutano Mkuu wa dharura uliofanyika Dodoma terehe 23/08/2013, wajumbe waliazimia kwamba klabu zote zifanye uchaguzi wao mapema kabla ya uchaguzi wa Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ambapo wajumbe wake huchaguliwa kutoka miongoni mwa viongozi wa juu wa  Klabu za Waandishi wa Habari.

 

Katika kikao cha 33 cha Bodi ya Wakurugenzi kilichofanyika tarehe 20/11/2019 mkoani Dodoma, kilipitisha azimio namba 5.2.4.1 ambalo lilizitaka klabu zote ziwe zimefanya uchaguzi wa viongozi wake mpaka kufikia tarehe 30 Juni 2020 ili kupisha uchaguzi wa Mkuu wa Serikali na uchaguzi wa Bodi ya Wakurugenzi ya UTPC.

 

Hata hivyo kutoka na mlipuko wa ugonjwa wa COVID19, Bodi ilisogeza mbele muda wa chaguzi za klabu mpaka kufikia tarehe 30 Septemba 2020.

 

Baada ya maagizo haya kutolewa na Bodi ya Wakurugenzi, klabu zilianza kufanya chaguzi zake katika vipindi tofauti tofauti, na ifuatayo ni orodha ya klabu ambazo zimeshafanya chaguzi zake;

 

Central Press Club

Kigoma Press Club

Njombe Press Club

Mwanza Press Club

Geita Press Club

Songwe Press Club

Rukwa Press Club

Katavi Press Club

Mara Regional Press Club

Simiyu Press Club

Shinyanga Press Club

Mtwara Press Club

Lindi Press Club

Kagera Press Club

Mbeya Press Club

Arusha Press Club

Manyara Press Club  

 

Klabu zilizobaki bado zinaendelea na mchakato wa kufanya chaguzi zake na pindi wakatakapo maliza taarifa yake itaandaliwa.



CALL FOR CONSULTANCY
31-Jul-23
SIKU YA MAADHIMISHO YA REDIO DUNIANI 2022
15-Feb-22
WAMILIKI VYOMBO VYA HABARI WATAKIWA KUWALIPA WAANDISHI STAHIKI ZAO
14-Jan-22
UTPC YAPEWA TUZO
22-Oct-21
WAANDISHI WA HABARI WAPEWA MAFUNZO YA ULINZI NA USALAMA
22-Oct-21
SERIKALI YAANZA KUJENGA MAHUSIANO ENDELEVU NA WAANDISHI WA HABARI
22-Oct-21
MARA PRESS CLUB WAENDESHA MDAHALO
22-Oct-21
UTPC KUANDAA KANUNI ZA MAADILI YA UANDISHI WA HABARI
22-Oct-21
MWANZA PRESS CLUB YAENDESHA MDAHALO
22-Oct-21
WAFANYAKAZI WA UTPC WAJENGEWA UWEZO
22-Oct-21
MAHAKAMA KUU YA RUFAA MWANZA ITATOA MAAMUZI YA RUFAA YA SHERIA YA HUDUMA YA VYOMBO VYA HABARI (MSA) 2016 SIKU CHACHE ZIJAZO
19-Feb-21
NOTISI YA MKUTANO MKUU WA UTPC MWAKA 2020
08-Oct-20
UTPC YATOA FOMU ZA KUGOMBEA UJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI
08-Oct-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI 11 ZAJIUNGA NA BIMA YA AFYA
07-Aug-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI 17 ZAKAMILISHA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAO
07-Aug-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI ZAANZISHA BLOGU
07-Aug-20
TANZIA - TAARIFA ZA KIFO CHA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA UTPC NDUGU JACOB KAMBILI
30-Jul-20
UTPC YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UGONJWA WA COVID19 KWA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA.
02-Jun-20
MPC KUFAIDIKA NA VIFAA KINGA DHIDI CORONA TOKA EWURA
02-Jun-20
MPC YAPOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA(PPE) TOKA TAASISI YA THE DESK AND CHAIRS FOUNDATION
02-Jun-20
Maazimisho ya Siku ya Haki za Binadamu yafanyika Mwanza kwa kuwashirikisha wanahabari
11-Dec-19
Afisa Miradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (Sida) atembelea Klabu za Waandishi wa Habari
06-Dec-19
Wito watolewa kwa Waandishi wa Habari kujiendeleza kielimu.
06-Dec-19
Sida na UTPC wakutana kujadili Mpango Kazi na Bajeti wa mwaka 2020.
29-Nov-19
Rais wa UTPC afungua mafunzo kwa waandishi wa habari Dodoma
29-Nov-19
Bodi ya Wakurugenzi ya UTPC yapitisha Mpango Kazi na Bajeti kwa mwaka 2020
29-Nov-19
Mlezi wa MPC Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa John Mongella
11-Oct-19
UTPC Potrays the real picture of Unity - H.E Dr. Ali Mohamed Shein
10-Sep-19
JAMII FORUMS : Winners of Daudi Mwangosi Award 2019
06-Sep-19
UTPC in Zanzibar for the Annual Members General Meeting
05-Sep-19
UTPC ARM: Presentation of results
03-Jul-19
INVITATION FOR CONSULTANCY SERVICES FOR MID TERM REVIEW OF UTPC STRATEGIC PLAN 2016-2020
03-Jul-19
UTPC: Annual Review Meeting 2019
03-Jul-19
Crash Course: Press Clubs
03-Jul-19