Home About Press Clubs Multimedia Contact Us Staff Mail

KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI ZAANZISHA BLOGU

07-Aug-20

Bodi ya Wakurugenzi katika kikao chake namba 33 kilichofanyika Mkoani Dodoma tarehe 20/11/2019, kilifanya mabadiliko ya baadhi ya kasma za bajeti ya mafunzo ili fedha hizo ziende kusaidia uanzishwaji wa blogu za klabu za Waandishi wa Habari zilizopo mikoani.

 

Madhumuni ya kuanzishwa kwa blog hizi, ni kusaidia maendeleo katika mkoa husika kwa kuchapisha na kusambaza habari mbalimbali zinazoonyesha fursa zinazopatikana katika mikoa hiyo kupitia blog za klabu. Lakini pia blog hizi zitasaidia habari za vijijini kupata nafasi ya kusikika na kusomwa nchini kote.  

 

Mpaka sasa jumla ya klabu za waandishi wa habari 13 zimefanikiwa kusajili na kufungua blogu zao na zinafanya kazi. Klabu hizo ni kama ifuatavyo

 

Shinyanga Press Club – www.shinyangapress.blogspot.com

Geita Press Club – www.geitapress.blogspot.com

Kigoma Press Club – www.kigomapress.blogspot.com   

Central Press Club – www.centralpressclub.co.tz

Arusha Press Club – www.arushapressclub.blogspot.com  

Njombe Press Club – www.njombepress.blogspot.com

Katavi Press Club – www.katavipress.blogspot.com

Manyara Press Club – www.manyarapress.blogspot.com

Tabora Press Club – www.taborapress.blogspot.com

Iringa Press Club – IPC Mkombozi TV (YouTube channel) https://www.youtube.com/channel/UCposvKsTmu7E9_NC6WbLaCg/featured?disable_polymer=1

Rukwa Press Club – www.rukwapress.blogspot.com

Pemba Press Club – www.pembapress.club/portal/

Mwanza Press Club – www.mwanzapressclub.co.tz  

 

Klabu zilizobaki bado zinaendelea na usajili wa klabu zake na zitakapokuwa tayari taarifa yake itatolewa.



CALL FOR CONSULTANCY
31-Jul-23
SIKU YA MAADHIMISHO YA REDIO DUNIANI 2022
15-Feb-22
WAMILIKI VYOMBO VYA HABARI WATAKIWA KUWALIPA WAANDISHI STAHIKI ZAO
14-Jan-22
UTPC YAPEWA TUZO
22-Oct-21
WAANDISHI WA HABARI WAPEWA MAFUNZO YA ULINZI NA USALAMA
22-Oct-21
SERIKALI YAANZA KUJENGA MAHUSIANO ENDELEVU NA WAANDISHI WA HABARI
22-Oct-21
MARA PRESS CLUB WAENDESHA MDAHALO
22-Oct-21
UTPC KUANDAA KANUNI ZA MAADILI YA UANDISHI WA HABARI
22-Oct-21
MWANZA PRESS CLUB YAENDESHA MDAHALO
22-Oct-21
WAFANYAKAZI WA UTPC WAJENGEWA UWEZO
22-Oct-21
MAHAKAMA KUU YA RUFAA MWANZA ITATOA MAAMUZI YA RUFAA YA SHERIA YA HUDUMA YA VYOMBO VYA HABARI (MSA) 2016 SIKU CHACHE ZIJAZO
19-Feb-21
NOTISI YA MKUTANO MKUU WA UTPC MWAKA 2020
08-Oct-20
UTPC YATOA FOMU ZA KUGOMBEA UJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI
08-Oct-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI 11 ZAJIUNGA NA BIMA YA AFYA
07-Aug-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI 17 ZAKAMILISHA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAO
07-Aug-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI ZAANZISHA BLOGU
07-Aug-20
TANZIA - TAARIFA ZA KIFO CHA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA UTPC NDUGU JACOB KAMBILI
30-Jul-20
UTPC YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UGONJWA WA COVID19 KWA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA.
02-Jun-20
MPC KUFAIDIKA NA VIFAA KINGA DHIDI CORONA TOKA EWURA
02-Jun-20
MPC YAPOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA(PPE) TOKA TAASISI YA THE DESK AND CHAIRS FOUNDATION
02-Jun-20
Maazimisho ya Siku ya Haki za Binadamu yafanyika Mwanza kwa kuwashirikisha wanahabari
11-Dec-19
Afisa Miradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (Sida) atembelea Klabu za Waandishi wa Habari
06-Dec-19
Wito watolewa kwa Waandishi wa Habari kujiendeleza kielimu.
06-Dec-19
Sida na UTPC wakutana kujadili Mpango Kazi na Bajeti wa mwaka 2020.
29-Nov-19
Rais wa UTPC afungua mafunzo kwa waandishi wa habari Dodoma
29-Nov-19
Bodi ya Wakurugenzi ya UTPC yapitisha Mpango Kazi na Bajeti kwa mwaka 2020
29-Nov-19
Mlezi wa MPC Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa John Mongella
11-Oct-19
UTPC Potrays the real picture of Unity - H.E Dr. Ali Mohamed Shein
10-Sep-19
JAMII FORUMS : Winners of Daudi Mwangosi Award 2019
06-Sep-19
UTPC in Zanzibar for the Annual Members General Meeting
05-Sep-19
UTPC ARM: Presentation of results
03-Jul-19
INVITATION FOR CONSULTANCY SERVICES FOR MID TERM REVIEW OF UTPC STRATEGIC PLAN 2016-2020
03-Jul-19
UTPC: Annual Review Meeting 2019
03-Jul-19
Crash Course: Press Clubs
03-Jul-19