Home About Press Clubs Multimedia Contact Us Staff Mail

TANZIA - TAARIFA ZA KIFO CHA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA UTPC NDUGU JACOB KAMBILI

30-Jul-20

UTPC imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha aliyekuwa mfanyakazi wa UTPC, ndugu Jacob Njayeje Kambili, kilichotokea katika hospitali ya Bugando baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Jacob Ngayeje Kambili alizaliwa tarehe 22 Oktoba 1953 na kufariki dunia tarehe 29 Julai 2020 baada ya kuugua kwa muda mrefu. Marehemu alisumbuliwa sana ugonjwa wa Tezi Dume ambao ulimfanya kushindwa kuendelea kufanya kazi na UTPC na kuamua kustaafu rasmi mwaka 2018.

 

Marehemu Jacob Njayeje Kambili alikuwa ni mwandishi wa habari mkongwe aliyefanya kazi kwa umahiri na kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma yake. Marehemu alifanya kazi na UTPC kwa kipindi kisichopungua miaka 7 na kabla ya hapo alifanya kazi na klabu ya waandishi wa habari Mwanza (Mwanza Press Club) akiwa kama Katibu wa klabu hiyo huku akiendelea na taaluma yake ya uandishi wa habari ambapo alifanya kazi kwenye vyombo vya habari mbalimbali hapa nchini ikiwemo Gazeti la Daily News.

Marehemu Jacob Ngayeje Kambili alikuwa mcha Mungu mwenye upendo wa dhati kwa wafanyakazi wenzake lakini pia mkweli na mcheshi wakati wote.

Kwa niaba ya wanahabari wote Tanzania, UTPC inapenda kutoa pole kwa msiba huu mzito ambao umewagusa watu wengi ambao walifanya kazi na marehemu kwenye tasnia ya habari.

Mungu ailaze roho ya marehemu malaha pema peponi amina.



GOVERNMENT AND MEDIA STAKEHOLDERS UNITE TO BOLSTER MEDIA SECTOR IN TANZANIA
19-Mar-24
RELIGIOUS LEADERS JOIN FORCES FOR JOURNALISTS' SAFETY: REV. LAZARO SPEAKS OUT
14-Mar-24
UTPC CHAMPIONS CHANGE: LEADING THE CONVERSATION ON EARLY CHILDHOOD CARE AND DEVELOPMENT
14-Mar-24
LEADING ECD REPORTERS ENHANCE SKILLS IN ECD AND GENDER-SENSITIVE REPORTING
09-Mar-24
SAFE REPORTING: STRENGTHENING POLICE-JOURNALIST RELATIONS THROUGH DIALOGUES
09-Mar-24
PRESS CLUBS INNOVATION LEADS TO INDEPENDENCE OF JOURNALISTS
04-Mar-24
SAFETY AND SECURITY DIALOGUES LEAD TO DECLINE IN MEDIA VIOLATIONS IN TANZANIA
01-Mar-24
UTPC UNVEILS STRATEGIC PLAN 2023-2025, AN EYE ON PRESS CLUBS, JOURNALISM TOWARD TRANSFORMATION.
01-Mar-24
YOUTH TO PLAY A VITAL ROLE IN SHAPING THE NARRATIVE AROUND FREEDOM OF EXPRESSION AND ACCESS TO INFORMATION.
16-Jan-24
UTPC PRESIDENT URGED JOURNALISTS TO PRACTICE QUALITY JOURNALISM
16-Jan-24
CALL FOR CONSULTANCY
31-Jul-23
SIKU YA MAADHIMISHO YA REDIO DUNIANI 2022
15-Feb-22
WAMILIKI VYOMBO VYA HABARI WATAKIWA KUWALIPA WAANDISHI STAHIKI ZAO
14-Jan-22
UTPC YAPEWA TUZO
22-Oct-21
WAANDISHI WA HABARI WAPEWA MAFUNZO YA ULINZI NA USALAMA
22-Oct-21
SERIKALI YAANZA KUJENGA MAHUSIANO ENDELEVU NA WAANDISHI WA HABARI
22-Oct-21
MARA PRESS CLUB WAENDESHA MDAHALO
22-Oct-21
UTPC KUANDAA KANUNI ZA MAADILI YA UANDISHI WA HABARI
22-Oct-21
MWANZA PRESS CLUB YAENDESHA MDAHALO
22-Oct-21
WAFANYAKAZI WA UTPC WAJENGEWA UWEZO
22-Oct-21
MAHAKAMA KUU YA RUFAA MWANZA ITATOA MAAMUZI YA RUFAA YA SHERIA YA HUDUMA YA VYOMBO VYA HABARI (MSA) 2016 SIKU CHACHE ZIJAZO
19-Feb-21
NOTISI YA MKUTANO MKUU WA UTPC MWAKA 2020
08-Oct-20
UTPC YATOA FOMU ZA KUGOMBEA UJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI
08-Oct-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI 11 ZAJIUNGA NA BIMA YA AFYA
07-Aug-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI 17 ZAKAMILISHA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAO
07-Aug-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI ZAANZISHA BLOGU
07-Aug-20
TANZIA - TAARIFA ZA KIFO CHA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA UTPC NDUGU JACOB KAMBILI
30-Jul-20
UTPC YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UGONJWA WA COVID19 KWA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA.
02-Jun-20
MPC KUFAIDIKA NA VIFAA KINGA DHIDI CORONA TOKA EWURA
02-Jun-20
MPC YAPOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA(PPE) TOKA TAASISI YA THE DESK AND CHAIRS FOUNDATION
02-Jun-20
Maazimisho ya Siku ya Haki za Binadamu yafanyika Mwanza kwa kuwashirikisha wanahabari
11-Dec-19
Afisa Miradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (Sida) atembelea Klabu za Waandishi wa Habari
06-Dec-19
Wito watolewa kwa Waandishi wa Habari kujiendeleza kielimu.
06-Dec-19
Sida na UTPC wakutana kujadili Mpango Kazi na Bajeti wa mwaka 2020.
29-Nov-19
Rais wa UTPC afungua mafunzo kwa waandishi wa habari Dodoma
29-Nov-19
Bodi ya Wakurugenzi ya UTPC yapitisha Mpango Kazi na Bajeti kwa mwaka 2020
29-Nov-19
Mlezi wa MPC Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa John Mongella
11-Oct-19
UTPC Potrays the real picture of Unity - H.E Dr. Ali Mohamed Shein
10-Sep-19
JAMII FORUMS : Winners of Daudi Mwangosi Award 2019
06-Sep-19
UTPC in Zanzibar for the Annual Members General Meeting
05-Sep-19
UTPC ARM: Presentation of results
03-Jul-19
INVITATION FOR CONSULTANCY SERVICES FOR MID TERM REVIEW OF UTPC STRATEGIC PLAN 2016-2020
03-Jul-19
UTPC: Annual Review Meeting 2019
03-Jul-19
Crash Course: Press Clubs
03-Jul-19